Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bw.Gerald Kusaya azindua Ghala la kuhifadhia mpunga Kijiji cha Isele Halmashauri ya Wialya ya Iringa.
Mh Angeline Mabula asema bado maafisa Ardhi wanawajibika kwa Wakurugenzi
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa Bw Robert Masunya ameteua baadhi ya Majengo ya Zahanati ya Kising'a kuwa kituo maalum kwa ajili ya Wagonjwa wa Corona iwapo watatokea katika Halmashauri yake.
Bw Masunya amesema mpaka sasa hakuna mgonjwa aliyethibitika katika halmashauri yake.
Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa